The team at Kodi Fire IPTV strongly suggests that you use a VPN at all times. Be it for browsing, watching Kodi, watching IPTV or anything else – the one that we recommend is Hidden Router. They provide you with very fast speeds, that can reach over 400Mbps, and their VPN service is as low as $6 per month (when paid for 2 years)! Grab your own Hidden Router and regain your online privacy now!
Mnapotoa maoni yenu msiegemee upande mmoja na kufananisha nchi hizo za nje, Japan kodi zikilipwa na kusimamiwa huku kodi zinaliwa kila leo unasikia upotevu wa pesa tena mabilioni hiki ndio kinaumiza kua wananchi wanajifunga mkanda ili kujenga nchi lakini hazisimamiwi vizuri, mfano ukienda hospitali hakuna dawa na wakati tunalipa tozo au kodi hapo unasemaje????
Ni kweli hata Japan wanatozwa kodi, akini angalia mapato ya Wajapan na angalia mapato ya Watanzani ni busara kwa Serikali kutafakari kidogo kabla ya mamuzi Kama hayo. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
Mnapotoa maoni yenu msiegemee upande mmoja na kufananisha nchi hizo za nje, Japan kodi zikilipwa na kusimamiwa huku kodi zinaliwa kila leo unasikia upotevu wa pesa tena mabilioni hiki ndio kinaumiza kua wananchi wanajifunga mkanda ili kujenga nchi lakini hazisimamiwi vizuri, mfano ukienda hospitali hakuna dawa na wakati tunalipa tozo au kodi hapo unasemaje????
Utaringana na Japan au unajichetuwa.
Ni kweli hata Japan wanatozwa kodi, akini angalia mapato ya Wajapan na angalia mapato ya Watanzani ni busara kwa Serikali kutafakari kidogo kabla ya mamuzi Kama hayo.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
usifananishe Japan na tz kodi ni.maendeleo sawa lakini na wizi ni.na matumizi ya ovyo serikalini
Watanzania washazoea mteremko hawataki kulipa kod
Suala kubwa kwa kilio cha wananchi ni namna ya matumizi makubwa na ufujaji wa mapato kutokana na kodi