…………………………………………………..
Contact Us : 0742447854
——————————————————————————-
Instagram
———————————————————————————
Facebook
———————————————————————————
Website www.rickmediatz.com
———————————————————————————–
Home IPTV And Kodi VIdeos TRA Wamjibu DIAMOND PLATNUMZ Madai Ya KUKANDAMIZWA / UKIUKWAJI Wa Sheria Za...
Wahuni sana hao
Neno kuvamia anakasoea hiyo kauli siyo,,,Bali anapaswa kusema walifika kwenye ofisi wakitaka utekerezaji wa ulipaji Kodi
Pesa shikamoo, wafanyabiashara wanalalamikia TRA Kila siku, jamaa kaongea kwenye interview watu wameingia kazini na kuwajibika, acha tutafute pesa Kila kitu kinawezekana hapa duniani.
Wez tu hao mbona wahali wa2 wahal ya chin hawawap barua za mwaliko mmeona limeongelewa ndio mnatoa mwaliko
ALIPE KODI SI ANAJINADI ANAHELA
Go straight to the point according to your topic
Tra wanatukomesha kwa mkato yao makubwa ndio chanzo cha wafanya biashara kukwepa kodi sababu wao hawakupi mtaji wowote lakini wanapigia mtaji wako Faida kubwa kama wamekusaidia kutafuta mtaji kikubwa tunaomba serikali ije na mfumo mpya ambao haumkandamizi mfanya biashara na mjasiriamali waje na mfumo wakukata kodi moja kwamoja kwenye kila bidhaa ambayo mfanya biashara anainunu kwaajili ya kuuza sabb duka linaweza kua kubwa lakini mzunguko ukawa mdogo vyo mfumo huu utaweza kumfanya mfanya biashara kulipia kodi kulingana na bidhaa inayo kua ikinunuliwa naomba kuwasilisha ikiwezekana naombeni huu ujumbe umfikie Mh rais Samia suruh
WEWE MVUTO NA USHAWISHI PEKEE ULIYOPEWA NA FREEMASON NI KUWASHAWISHI WATU KUFANYA MAHASI TU LAKINI KWENYE UPANDE WA SIYASA BORA UMESANDA, UKITAKA KUINGIRIA SERIKALI UTAPOLIGWA SPANA MPAKA UTAENDA KUISHI KULE UTAKAPOPATAKA ILA BONGO UNAPASWA KUWA HUMBLE
Mr ney acha semaka ilo kwenye nyimbo yak . Simba 🦁🦁 babalao