The team at Kodi Fire IPTV strongly suggests that you use a VPN at all times. Be it for browsing, watching Kodi, watching IPTV or anything else – the one that we recommend is Hidden Router. They provide you with very fast speeds, that can reach over 400Mbps, and their VPN service is as low as $6 per month (when paid for 2 years)! Grab your own Hidden Router and regain your online privacy now!
Tena hao weupe wa tanzania ndio wabaya sana, wanaloob' kila sehem, tena hawana mapenzi na nchi..wanaifanya watz. ni sehem yao ya kuiba na shamba lao, ila wezi sana na wanadharau sana.
Ccm hawawezi kubalisha katiba kwasababu Hii katiba inawalinda wezi wanaopola kodi zetu . Hata ukiiba mabilion kwenye Hii katiba ya mwaka 77 Ni sawa tu huchukuliwi hatua yoyote. Zaidi unaishi maisha ya kifahali wewe na familia yako. Ndiyo hadi leo ccm haitaki kubadilisha Hii katiba. Kingine hii katiba ya mwaka 77 ni ya chama kimoja siyo ya vyama vingi.
Tatz watanzania tunakuw tyr kufa na kitanzan CJUI ln tutajikomboa kifkra risu uko sawa kabisa
Mkosoe adi akome
Hana jipya tundulisu
Huna jipya tundulisu kapumzike
Nakubari kamanda Katiba mpya ndio suluhisho
6
Huna akir wewe.
Nakkubali kamandaaa
Ccm oyeeee
Upo sawa kamanda
Ulikuwa unatetea makinikia wewe wazungu wajichukulie leo vip
Huyu Yuko tofaut na wapinzani wenzake anania kweli na nimkweli, yeye na jpm, ni mashujaa sema hawakupatana,
Wewe na jpm wote mnauzalendo, mlishindwa tu kuelewana lakin mngeweza kufanya makubwa mngelifanya Kaz pamoja
Sasa ndio kunaufisadi mkubwa wa kutisha sana sana..Viongozi hatuna kabisa!!!!
Tena hao weupe wa tanzania ndio wabaya sana, wanaloob' kila sehem, tena hawana mapenzi na nchi..wanaifanya watz. ni sehem yao ya kuiba na shamba lao, ila wezi sana na wanadharau sana.
Ccm hawawezi kubalisha katiba kwasababu Hii katiba inawalinda wezi wanaopola kodi zetu . Hata ukiiba mabilion kwenye Hii katiba ya mwaka 77 Ni sawa tu huchukuliwi hatua yoyote. Zaidi unaishi maisha ya kifahali wewe na familia yako. Ndiyo hadi leo ccm haitaki kubadilisha Hii katiba. Kingine hii katiba ya mwaka 77 ni ya chama kimoja siyo ya vyama vingi.
Mali kuliwa na wenye nchi au wagane lipi bora? Kuna mambo mawili , kuliwa kodi na kulipa kodi.
hata lisu siku sadiki na watawala siwaamini ,, wote naona hivyo tu
Mbn Magufuli aliyepinga mafisadi hamkumtaka? Hamueleweki mnataka kushika dola tu nyinyi na kula ruzuku
Lete hoja sasa nini kifanyike sio kukosoa tu
Mh mbona huzungumzii uchafu wa watu wanaendeleza ushoga na usagaji
Ni walafi siku zote rushwa inapofusha macho
Hivi mahakama ya mafisadi iliishia wapi. Naona mambo bariiiiidi.Mhh
Mmmmmhhhh
Tobo kama kweli unauchungu na tanzania tafadhari ututafutie alie muuwa makufuli please!
Huyu ndiye kamanda lisu anaweza kulisaidia taifa
😊
Yeah daaah hatari sana
Sawa mwanzo ulisema hawakusanyi Kodi Leo unasema msitowe Kodi mbona changanya watu
UKO SAWA KABISA inch WATU wanaigawana kula rushwa MAENDELEO yamesimama AJIRA ni changamoto KUBWA VIJANA hawana KAZI MTAANI
Mwamba
Mwamba
Mwambaaaa nguruma tu ,katika watu muhimu wawili mmoja ni wew hongera sana bro .
Bahut fainche ccm wengine ni chorbazaar