Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba leo Jumanne Juni 22, 2021 akijibu hoja za wabunge walizozitoa wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba leo Jumanne Juni 22, 2021 akijibu hoja za wabunge walizozitoa wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali
Kwa msaada zaidi tucheki whtsap/call 0679101110
Naweka 1000 ili nijiunge bando ya wiki, unapochukua sh.5 itabidi niweke Mia tano ili Nipate kifurushi nilichokusudia. Hiv kwa nini tusianze kufikiria kuyabana makampuni yanayopata faida ya kutosha kutoka kwetu Kama nchi nyingine wanavyojadili ili mtuache sisi walala hoi jmn. Mambo huku mtaan Ni magumu Sana.
Mweshiwa mwigulu unaposhukuru Anza na Mungu,ndo ushuke kwa Rais,spika na wengine
Mlima, mbuga za wanyama, gesi, madini, misitu nk. Hazijatosha hizi za walala hoi ndo zitatosha. Mnyonge mnyongeni had afe
Kwenye hii awamu, Wananchi wa hali ya chini wataumia vibaya mno
Hizi balabala za mitaani watamwaga maudongo tu bila kutengeneza nitaro balabala si, madongo ni mitaro
nafurahi xana nikisikia jina la nabii wa dunia mfalme john pombe joseph magufuli "magufuli the great"
Awamu ya wanyonge ilishapita sasa ni ya matajiri na wafanyabiashara tena wakubwa tuu.
Sawa mtanikata iyo shilingi tano mpaka 150
kwa lengo la kunifanya nilipie fedha za kununua vifaa tiba na kujenga madaraja
Ikumbukwe nikienda hospitali kuhudimiwa na lipia huduma tena kwa gharama kubwa japo nilichangia kununua vifaa vya hospitali,
mfano kufanyiwa diagnos na analysis ys kuondoa sumu kwenye figo nilifanyiwa kwa 120000 kila unapofanyiwa na unapaswa ufanyiwe mara tatu hadi mara nne, haijalishi nimenunua vifaa tiba au sijanunua bei ni juu, kingine kwenye hospitaly za serikali hizi zenye nyodo za wahudumu, ukipeleza hata mia hupewi dawa wala vifaa tiba na hapo mimi ni mmoja wa hisa za vifaa vya hosipitaly
wabunge na matumbo yenu mnakula kiyoyozi na mna kula mshahara pamoja na malupulupu kwa mwezi milioni 22 hayawani hamna huruma
harafu unasema uninea huruma watanzania
mchanganuo
Kifurushi cha 1000 uweke 1500 ndio utajiunga la siivyo tumia facebook ya kiswahili mchezo umeisha this is BONGO
kazi iendeleeee
Hakika mama samia uongozi wako ni mbovu kabisa matajiri wanalipa kodi kwa hiari halafu masikini wanalipishwa kwa lazima
Yan awajamaa wamechaguliwa ili wakafanye mambo ovyo sana….kama mna huruma kweli punguzeni mishahara yenu posho zenu ili tuone kweli mnahuruma nasisi wanyonge..
Nimekuelewa sanaaaa raisi ujae
tutalikumbuka jembe daima. matajiri wanasamehewa matrilioni wanyonge wanalipishwa kodi kuziba hilo pengo. da Magufuli wetu uko wapi baba?