RAIS SAMIA AWAVAA TRA "MSITUMIE MABAVU NA UBABE MNAPOKUSANYA KODI, WANAOGOPA JELA"
[matched_content]
The team at Kodi Fire IPTV strongly suggests that you use a VPN at all times. Be it for browsing, watching Kodi, watching IPTV or anything else – the one that we recommend is Quad VPN. They provide you with very fast speeds, while keeping you protected. They can also unblock most streaming sites in the US and UK!! Grab your own Quad VPN and regain your online privacy now!
Sikuungi mkono kusema mabavu nahukubukijua ulikuwepo napi umesema walitekeleza sheria. Kama umeona sheria flan haifai iondoe kuliko kujifanya hukuwepo au kujikosha. Sisi tutakuuliza ulikuwa wapi.mama usijichanganye sana maana unahitega .
Mama tunakupenda lakin usiongee sana yakuashiria kuponda wakati hats Nazi be hujaanza yaan unapanga tu ofisi kazi bado.usiongee sana tukaona unaponfa mtangulizi wako wakat ulikuwanae kwa kila hatua nawewe ulikuwa mshauri wake mkuu..punguza hizo tafadhali mpendwa haitapendaza.watakishangilia lakin siku ikifika watakugeuka.
Barikiwa Sana Kweli MHR kazi njema nakutakia kila la kheri na mafanikio mema barikiwa Sana Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda akutunze salama salimini akufunike na akusingire akupikanie akushindie na akuongose vyema katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu ndiye raisi wng pende sijawahi kupiga kura ila kwa mama samia ntampigia kura ana ubinadamu sijawahi kuwapenda ccm ila huyu mama I love her to death
Asante sana mheshimiwa rais Mama Samia nakupenda sana! jambo la muhimu umesema tukaribishe upendo na pia sio hapo TRA tu mheshimiwa rais pia katika sector zengine wapunguze makali na pia kutupa heshima sisi pia ni binadamu upendo ndio unajenga na mungu atatubariki zaidi Hongeraa rais wetu Mama samia!!!..
Sikuungi mkono kusema mabavu nahukubukijua ulikuwepo napi umesema walitekeleza sheria. Kama umeona sheria flan haifai iondoe kuliko kujifanya hukuwepo au kujikosha. Sisi tutakuuliza ulikuwa wapi.mama usijichanganye sana maana unahitega .
Hakika kazi nilazima iendelee…..
Mama tunakupenda lakin usiongee sana yakuashiria kuponda wakati hats Nazi be hujaanza yaan unapanga tu ofisi kazi bado.usiongee sana tukaona unaponfa mtangulizi wako wakat ulikuwanae kwa kila hatua nawewe ulikuwa mshauri wake mkuu..punguza hizo tafadhali mpendwa haitapendaza.watakishangilia lakin siku ikifika watakugeuka.
A journey started with the right step. My almighty God crown your effort with brilliant success.
Umenena mama dhulma ni mbaya San
Barikiwa Sana Kweli MHR kazi njema nakutakia kila la kheri na mafanikio mema barikiwa Sana Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda akutunze salama salimini akufunike na akusingire akupikanie akushindie na akuongose vyema katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwel mama
Huyu ndiye raisi wng pende sijawahi kupiga kura ila kwa mama samia ntampigia kura ana ubinadamu sijawahi kuwapenda ccm ila huyu mama I love her to death
Mwenyezi Mungu anamakusudi yake
Nilijua huyu mama hatoweza hii nchi. Jembe magufuli ndiye alikuwa anaimudu hii nchi ila ninavyo ona atachemsha tuu.
Hongera mama rais mpendwa piga kazi mungu yupo na ww
Nakubari sana Mama yetu Rais wetu mpendwa
Mama mungu akupe maisha mrefu tu nakukubali sana
💯♥️my president
Uko vizurii mama
Hongera sana mama yetu, upo sawa kabisa.
Mama kodi yatanzania inatozwa wapi kwanye mtaji kwanye mauzo au kwanye faida?
Sijamwelewa hamani
Asante sana mheshimiwa rais Mama Samia nakupenda sana! jambo la muhimu umesema tukaribishe upendo na pia sio hapo TRA tu mheshimiwa rais pia katika sector zengine wapunguze makali na pia kutupa heshima sisi pia ni binadamu upendo ndio unajenga na mungu atatubariki zaidi Hongeraa rais wetu Mama samia!!!..
Viva Tanzania!!! Hongera Rais Mama Samia!
Naomba uongezewe miaka kumi tena Mheshimiwa Rais Mama Samia!!! Very good!