Wenyeji katika mtaa wa kawangare katika kijiji cha kongo, wamepata hasara kubwa baada ya nyumba zao kutekezwa moto mchana wa leo baada ya mwenye nyumba hiyo kudaiwa kumuua mpangaji wake kwa kukosa kodi. Ni kisa ambacho kilisababisha wenyeji kujawa na ghadhabu hadi kusababisha hali hiyo ambayo imewafanya wapangaji kupoteza mali zao.
The team at Kodi Fire IPTV strongly suggests that you use a VPN at all times. Be it for browsing, watching Kodi, watching IPTV or anything else – the one that we recommend is Hidden Router. They provide you with very fast speeds, that can reach over 400Mbps, and their VPN service is as low as $6 per month (when paid for 2 years)! Grab your own Hidden Router and regain your online privacy now!
Usawa yafaa useme ukistaajabu ya firauni utaona ya Musa coz ajabu ya firauni watu waliifaham kabla Musa kupewa miujiza kupitia fimbo yake kwa amri ya mungu
too bad
Usawa yafaa useme ukistaajabu ya firauni utaona ya Musa coz ajabu ya firauni watu waliifaham kabla Musa kupewa miujiza kupitia fimbo yake kwa amri ya mungu
Hasira ni hasara…..🙊🙊 landlord anatoshanisha maisha y binadamu na pesa?too bad
So sad
Woi
Kweli Dunia imeisha, uaua mtu Kisha elfu 5
Maajabu
Slum dwellers are fools! why torch a house people live in when you have issues with the landlord!
Mungu wngu 🙆
SUBHANNALLAH
Doesn't make sense, something deeper here, killing a debtor is counterintuitive for even the slowest person.
Pesa na binadamu huisha,,unauwa mtu juu ya pesa na pia wewe utakufa siku moja uziache
poverty is a disease
Yani kila siku kifo???? Hizi ndo nyakati za mwisho
ukatili
Sad indeed