Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemkamata Raia wa China aliyeingiza nchi vifaa ambavyo vina uwezo wa kutengeneza mashine 500 za michezo ya kubahatisha.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemkamata Raia wa China aliyeingiza nchi vifaa ambavyo vina uwezo wa kutengeneza mashine 500 za michezo ya kubahatisha.
Tena mumfunge km wao wanavyofunya wa 🇹🇿 kwao mualifu ni mualifu ashughulikiwe ipasavyo
Kwahiyo rais yuko wapi au typing error,mhariri maandishi yenu kabla ya kutuma habari.
Weee. China wewe kweli chizi ivi amjui Tanzania sasa sio soko la walanguzi!
Sukuma ndani hawa majambazi wakitoka muwaingize kwenye mtumbwi warudishwe kwao.
Sukuma ndanii
Habari kamili bonyeza hapa👉👉👇👇
https://youtu.be/LM0LI-LKAN4
Wachina siyo watu wema kabisa, Mungu atusaidie uovu wao wote uwekwe peupe.
https://www.youtube.com/watch?v=5WlTgbvILEQ DIAMOND NEW SONG NA MSANII WA CONGO ANGALIA MIUNO
Weeee mchina hatupo shamba la Bibi Tena, nyakati zimebadilika
Mfungeni huyo mhujumu uchumi
Hizo mashine hazifai kabisa bora zipigwe marufuku
Sukuma ndani uyo
izo kampuni za Bahati na sibu ni halamu haina haja ya kuluhusu kuingia inchini
Raisi baba yetu magufuli ungepiga vita hiikitu vijana hawatakikazi wanacheza kamarituu 😂😂😂😂😂😂
Mh huyu, niwakufungwa kabsa
Wachina hizi zama za magufuli
sukuma ndani huyo mchina ajui hizi ni zama za Magufuli
Sasa izo njia za panya au nyoka hao wachina watazijuaje kama sisi wenyewe ndio mapoyoyo sio wazalendo tunaliuza taifa ki zwazwa ukiuliza eti madili uyo mchina anaenda kujenga kwao na kutuadisia uko afrika makasuku wamelala awana uzalendo au twiga faru tumbili nani anawatoa mbugani kama sio sisi wenyewe na kuwapa wazungu kiubwete tunawapa neema ni uzwazwa tu
Hao wanafanya hata vijana wasifanye kazi wanakazi ya kuuza ili waende kubeti maana wanapeleka machine mpk vijijini
Wachina mnanini lakini 😃😃😃
Hii Sio ile tanzania mliyoizoea nakuambia mtajuta
kwanza niaibu kubwa sana kuruhusu uwekezaji was kizembe na kijinga namna hii.yani kweli tunaruhusu mgeni aje afunge mitambo ya kamali nchini mwetu na kujikusanyia pesa kirahis tu.hizi shughuli zisizo na tija ktk uchumi ni heli tungezipiga marufuku kufanywa na wagen.mgeni akija ,aje na teknologia,mtaji was maana, na achangie kuongeza ajira.hawa wachina wsliojazana Tanzania wakiuza pipi na kufanya biashara ya umachinga ni heli tukawaondoa warudi kwao.
Nyongeni hawa washkaj zangu wamnyongwa sna China
fungeni ukonga akafilwe then rudisheni kwao..simple
wachina si wa mchezo mchezo 😀😀😀😀😀😀😀
Six hundred millions, vat we lost for every month, dem:)🤔 because of the that son of a cow, give him big penalty and bring back him to his to his country:):)😠ðŸ˜
kweli TRA mnatakiwa kutumia binu nyingine kwa wafanya biashara wenye mashine za lisiti kwan hawazitumii ipasavyo bali wanachofanya ni kwamba kama mteja kanunua mzigo wa laki tano Basi atapewa lisiti ya laki moja na ukikataa anakwambia acha biashara yake hawezi kuifanyia. serekali hivyo mjipange sana
awa wasenge ni hatariii kwa kukwepa kodi
kumbuka mbinu hii wanapewa na watanzania wenzetu wasioitakia mema nchi yetu
Hahahaaaaaaaaaa goooooood
Kamata kabisa wao kwenye nchi yao mtu akikwepa kodi wanangyonga sasa mchezo walikuwa wanaufanyia nchini kwetu. Hongera watu wa TRA kwa uzalendo maana unaweza ukatamani kidogo wakati unaua UCHUMI wa nchi yako ambao itakuathiri na wewe uzeeni mwako. UTATIBIWA NA NINI, BARABARA UTAPITA WAPI MAKORONGO mfano mdogo tu huo
Sukuma ndani huyo
Hizi kamari zinaharibu watoto mitaani je hamulioni hilo au nyinyi kodi tu laiti mungeoona hizo bonanza zinavoharibu vijana mpaka wanaingia kwenye wizi kisa kamari